Tshona alizaliwa na wa dada waine {4},watatu{3} alizaliwa nawo baba moya na Mama moya , moja{1} Baba moya na mama mbalimbali.

Babuguba Nemba : ni dada yake ya Tshona yeye alihenda ingiya bunyumba yake ku mugini wa MAYENGE.

Majina yabo ndio aya : Mubela Nemba,Mutoke Nemba na Kungwa Nemba .awa ni wenye walizaliwa Baba moya na Mama moya.

Mubela Nemba : alihingiya bunyumba bwake ku MUGIJA. kule akazala Ndavi na Tongoni.

Mutoke Nemba :alihingiya bunyumba bwake ku KAHAMBO.

Kungwa Nemba : alihingiya bunyumba bwake ku KAKUNDE.

Samuel ngongo
Samuel ngongo
Articles: 5