Tshona alizaliwa na wa dada waine {4},watatu{3} alizaliwa nawo baba moya na Mama moya , moja{1} Baba moya na mama mbalimbali.
Babuguba Nemba : ni dada yake ya Tshona yeye alihenda ingiya bunyumba yake ku mugini wa MAYENGE. Majina yabo ndio aya : Mubela Nemba,Mutoke Nemba na Kungwa Nemba .awa ni wenye walizaliwa Baba moya na Mama moya. Mubela Nemba :…
Tshona aliowa wana wake sita na wa bibi awa wote sita ndio awa1/Mubela Mbayo.2/Malunga .3/Muheya.4/Manganga.5/Bihanga . 6/Kaya masoma.
Ni kusema iyi milango yote sita ilizala watoto, nikusema watoto wote wa Tshona ni 26.wanahume kumi na kenda (19) na wana wake saba (7) 1.Bibi wa kwanza wa Tshona Mubela mbayo alizala watoto 4 wanahume , majina yabo ndio aya…
donderdag
hggjjhjjh
Moedijk
jdhjdj
